Documenti di Didattica
Documenti di Professioni
Documenti di Cultura
NCHI YETU
Toleo la 228
TANZANIA
Aprili 2016
GOVERNMENT STANDING
ORDER NO. C. 16
PRESS AND PUBLIC RELATIONS
(a)
The Director of Information Services is the recognized channel for all Government
Information to the Press and Broadcasting Services.
(b)
Information of a factual nature not connected with major questions of policy and
development, to be given publicity in the local press and the broadcast news service
should be channelled through this officer to the Press Section of the Information
Services Division. Conversely it is to this officer that the officers of the Information
Services Division would first go for any information that they might require.
(c)
Where the information to be given out related to a matter of major importance, the
channel of communication will normally be between the Permanent Secretary Services
concerned and either the Permanent Secretary of the Ministry responsible for
Information and Broadcasting or the Director of Information Services.
(d)
(e)
When an officer is approached by the Press for an eye witness account of any incident,
he will always refer the Press to the Senior Officer present.
This officer will continue himself strictly to a statement of facts and will in no
cirmcustances embark on a discussion of Government policy. Any officer making such
a statement to the press will inform his head of Division immediately of the substance
of his statement and it will be responsibility of the head of Division to pass this
information to the Permanent Secretary of his Ministry and the Director of any
incident likely to by the quickest possible means. This procedure is also to be adopted
for any incident likely to arouse wide public interest or controversy, irrespective of
whether or not Press representatives are present, and/or a statement has been
sought or made.
2016
NCHI YETU
TUONAVYO SISI
YALIYOMO
Government Standing Order
ii
Uk. (i)
Uk. 1
Uk. 4
Mwenge wa Uhuru
Uk. 5
Uk.10
Uk.12
Uk. 15
Uk. 16
Uk. 17
Uk. 20
Uk. 22
Uk. 24
Uk. 26
Umeme wa Jotoardhi
Uk. 27
Uk. 29
2016
2016
anadamu
wameumbwa
kwa
hulka na silika ya kuwa na
uwezo wa kuwasiliana miongoni
mwao, jamii wanamoishi, taifa na hata
ulimwenguni ili waweze kutimiza
nia na azma yao ya kuwasiliana.
Ili
mawasiliano
hayo
yakamilike
ni
lazima
yabebe
ujumbe
unaokusudiwa kufikishwa katika jamii.
Ujumbe huo ili uweze kumfikia mlengwa,
ni lazima iwepo njia ya kuufikisha ujumbe
huo kwa mlengwa ambao huwasilishwa
kwa maandishi (magazeti), sauti (redio)
na picha (TV) pamoja na mitandao
ya kijamii kupitia huduma ya inteneti.
Vyombo hivyo vya habari vinahusisha
wataalamu ambao kazi yao ni
kuhakikisha jamii inapata ujumbe kwa
wakati ili kuweza kujenga, kuboresha
na kuimarisha maisha yao kiuchumi,
kijamii,
kisiasa
na
kiutamaduni.
Vyombo vya habari hakika vimekuwa ndio
macho na masikio ya wananchi ili kufikisha
ujumbe unaohusu mambo mbalimbali
yanayofanyika ndani na nje ya nchi.
Tunapoelekea siku ya maadhimisho ya
uhuru wa vyombo vya habari duniani
ambayo huadhimishwa kila mwaka Mei
2 na 3, maadhimisho hayo mwaka huu
yataadhimishwa nchini Finland, ambapo
wanahabari wote duniani wataungana
kuwakumbuka
wenzao
waliofariki
dunia
walipokuwa
wakitekeleza
majukumu yao na kupanga mipango
mipya ya namna watakavyoboresha
kazi zao ziwe za ufanisi zaidi.
Tanzania ikiwa miongoni mwa mataifa
ya dunia hii, nayo haipo nyuma katika
suala la uwepo wa vyombo vya habari.
Ni dhahiri vyombo vya habari nchini
vimekuwa kiungo muhimu katika
Inaendelea Uk. 2
2016
Inatoka Uk.1
wanahabari wenyewe, TCRA imekuwa
ikihimiza juu ya ufanisi wa ushindani na
uchumi, kulinda maslahi ya walaji, kulinda
uwezo wa fedha na ufanisi wa wagavi.
Pia inahimiza upatikanaji wa huduma
zinazosimamiwa kisheria kwa walaji
wakiwemo wenye kipato cha chini na
walaji wa vijijini na wa pembezoni,
kukuza mwamko, maarifa na uelewa
wa jamii kuhusu sekta zinazosimamiwa
ikiwemo kuzingatia haja ya kulinda na
kuhifadhi mazingira, haki na wajibu
wa walaji na wagavi wanaosimamiwa.
Katika kuonesha Tanzania inavyosimamia
uhuru wa vyombo vya habari, TCRA ina
jukumu lingine la kusimamia malalamiko
na migogoro inayoweza kujitokeza
miongoni mwa wateja wake wakiwemo
wamiliki wa vyombo vya habari, wananchi
na kupatia ufumbuzi changamoto hizo.
Aidha, hadi Aprili 22, 2016, Tanzania
imekuwa ndio nchi inayoongoza Afrika
Mashariki kwa kuwa na idadi kubwa ya
magazeti yaliyosajiliwa ambapo idadi yake
ni 881 licha ya magazeti na majarida mengi
kusajiliwa, mengi huchapishwa mara
chache na mengine kutokuchapishwa
na kusambazwa baada ya kusajiliwa.
Akizungumzia
maandalizi
ya
maadhimisho kitaifa ya siku ya Uhuru
Inaendelea Uk. 3
2016
Inatoka Uk. 2
kuwa Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Othman Chande ambapo
wakati wa ufunguzi wa maadhimisho
hayo mada mbalimbali zitawasilishwa
na watoaKuhusu ratiba ya siku mbili za
maadhimisho hayo, Marawiti amesema
kuwa
zitawasilishwa
zikiandamana
na majadiliano kwa washiriki wote.
Miongoni mwa washiriki wanaotarajiwa
kuwepo katika maadhimisho hayo
ni wadau mbalimbali wa habari
wakiwemo
viongozi
wa
Serikali,
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao
hapa nchini, wawakilishi wa Mashirika
ya Kimataifa, wamiliki wa vyombo vya
habari, waandishi wa habari na wananchi.
Kulingana na takwimu zilizopo, mwandishi
wa habari mkongwe nchini, Mzee Willie
Mbunga amesema kuwa Tanzania ina
vyombo vingi vya habari ikilinganishwa
na hali ilivyokuwa miaka ya nyuma
ambapo kulikuwa vyombo vichache vya
habari ambavyo ni redio Tanzania Dar
es salaam, Tanganyika Standard, Mambo
Leo, Uhuru, Mzalendo na Ngurumo.
Aidha, amesema kuwa changamoto ya
baadhi ya watu kujisahau na kuweka
pembeni maadili ya uandishi wa habari
ni suala ambalo si la kufumbiwa macho,
ni vema litiliwe maanani ili kukiokoa
kizazi cha sasa na kijacho katika
kujenga jamii inayojali na kusimamia
maadili ya taaluma na ya jamii.
Katika
upashanaji
habari,
dunia
sasa imekuwa sawa na kijiji hasa
katika kipindi hiki cha sayansi na
teknolojia
ambapo
mawasiliano
ndio imekuwa nguzo ya kila kitu.
2016
2016
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akiwasha Mwenge wa
Uhuru mkoani Morogoro.
akamu wa Rais wa Jamhuri ya ya changamoto hizo kuwa ni kuanza kutenga maeneo rasmi kwa vijana kwa
Muungano wa Tanzania, Mhe. kujengeka hali ya kudharauliana katika ajili ya kuendesha shughuli za kiuchumi.
Samia Suluhu Hassan, alisema falsafa jamii, kuchukiana na kukatishana tamaa. Alisema wakati taratibu za kutafuta
ya Mwenge wa Uhuru inahitajika Samia alisema kuna haja ya kuzikabili maeneo rasmi zinafanywa, viongozi
zaidi kwa sasa kuliko wakati wowote, changamoto hizo kwa ujasiri wa hao watenge maeneo maalum kwa siku
ili
kukabiliana
na
changamoto hali ya juu kwa malengo yale yale ya za Jumapili na kuwataka vijana walipe
zinazojitokeza za kitaifa na kimataifa. kudumisha amani, upendo, umoja na ushuru, waimarishe usafi na waweke
mshikamano kupitia mbio za mwenge. ulinzi wakati wakiendesha shughuli zao.
Alisema tangu kuanzishwa kwa mbio
za Mwenge wa Uhuru mwaka 1964 Hilo ndilo tunalolifanya viongozi Samia alitumia fursa hiyo pia kuelezea
na kukimbizwa nchini kote, mwenge wenu wa Serikali kitaifa. Hatua zote azma ya Serikali ya kuendelea kupambana
huo umekuwa kichocheo kikubwa tunazozichukua za kutumbua majipu na rushwa na ufisadi kwa lengo la kudhibiti
katika kuhamasisha maendeleo, umoja, ni kurudisha heshima na matumaini mianya ya upotevu wa Mapato ya Serikali
mshikamano na kudumisha amani, kwa wale waliokata tamaa. Serikali na kuboresha uwajibikaji katika usimamizi
ambayo ni tunu pekee ndani ya taifa. inaendeleza falsafa hii, naomba nanyi wa rasilimali na utoaji wa huduma.
mtuunge mkono, alisema Samia.
Akihutubia taifa kwenye uzinduzi
Aliwaasa watumishi wa umma na wa sekta
wa mbio za Mwenge wa Uhuru Pamoja na kusisitiza vijana wapewe binafsi kujiepusha na rushwa na kutekeleza
katika Uwanja wa Jamhuri mkoani elimu na ujuzi wa stadi za kazi, pia alitoa majukumu yao kwa kuzingatia Katiba,
Morogoro, Mhe, Samia alitaja baadhi wito kwa wakuu wa mikoa na wilaya sheria, kanuni, miongozo na taratibu
Inaendelea Uk. 6
2016
Inatoka Uk. 5
2016
Na Benedict Liwenga.
Inatoka Uk. 7
2016
mazungumzo
Ikulu Jijini Dar es Salaam na
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. John Pombe
Joseph Magufuli ambapo viongozi
hao walisaini mkataba wa
kibiashara baina ya pande mbili.
Rais Magufuli alieleza kuwa ugeni
wa Rais Sang nchini Tanzania
umekuwa wa maana kubwa
kwa Tanzania na kuongeza
na Serikali ya Tanzania ya
kidiplomasia ya muda mrefu na
mahusiano hayo na makubaliano hivyo wataendeleza uhusiano
yazidi kuendelea, hakunabudi huo pamoja na kushirikiana ili
kuwa na mawasiliano ya karibu kukuza uchumi wa nchi hizo.
na kukutana mara kwa mara
baina ya watendaji wa Serikali Katika ziara hiyo, Rais wa
hizi mbili ikiwemo kutembeleana Vietnam mbali na kufanya
mara kwa mara kwa lengo la mazungumzo na Rais wa Jamhuri
kukuza maeneo waliyokubaliana. ya Muungano wa Tanzania, Mhe.
John Pombe Magufuli, alifanya
Waziri wa Mambo ya Nje na pia mazungumzo rasmi na Rais
Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mhe.
Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,
Augustine Mahiga anaeleza kuwa, Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Serikali iliupa uzito wa pekee ugeni Muungano wa Tanzania, Mhe. Job
huo kwa sababu ni ziara ya kwanza Ndugai; Wafanyabiashara kutoka
ya kitaifa katika Awamu ya Tano sekta binafsi na kutembelea eneo
kufanywa na Mkuu wa Nchi hiyo. la uwekezaji la EPZA, lililopo
Ubungo Jijini Dar es Salaam.
Mhe.
Augustine
Mahiga
anabainisha kuwa mbali na nchi Mikataba ya Mahusiano baina
Tanzania
na
Vietnam.
hiyo kuongoza katika kilimo ya
barani Asia, pia inasifikana Katika jitihada za kuimarisha
duniani kwa kuuza samaki aina mahusiano, mwaka 2001 Tanzania
ya Sato ambao walichukuliwa na Vietnam zilisaini Mkataba wa
kutoka
Ziwa
Victoria. Ushirikiano wa Kuichumi na ufundi.
Aliongeza kuwa, ili Tanzania nayo
ifike ilipo Vietnam hainabudi
kufuata mambo matatu ambayo
Vietnam inayazingatia ikiwemo
kufanya kazi kwa bidii katika
mazingira ya aina zote, utekelezaji
wa maamuzi wanayofanya na
kuwekeza katika mafunzo ya
ufundi, miundombinu kama vile
ya umeme, barabara, reli, bandari
na mabenki kwa ajili ya mitaji
na huduma nyingine za kifedha.
Naye Waziri wa Habari na
Mawasiliano wa Vietnam Mhe.
Nguyen Bal Son anaeleza kuwa
nchi yake ina historia nzuri
ya ushirikiano na mahusiano
9
2016
2016
10
Inaendelea Uk. 11
Inatoka Uk.10
11
2016
2016
Na Raymond Mushumbusi
12
Inaendelea Uk. 13
Inatoka Uk. 7
mbalimbali wa Serikali,watumishi wa Idara
maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
(SMZ) na vikosi vya JWTZ kufanya usafi
katika soko la samaki Malindi mjini Unguja.
Akizungumza mara baada ya kufanya
usafi, Dkt. Shein aliwakumbusha wananchi
haja ya kuimarisha usafi ambao umekuwa
ni utamaduni wa watu wa Zanzibar.
Aliwataka wananchi kufanya usafi
katika maeneo yote ya kazi,
makazi pamoja na maeneo
mengine ili kuimarisha usafi
wa mazingira pamoja
na wananchi wenyewe
kwa
kuwa
hatua
hiyo ni kuimarisha
afya
zao
pia.
Alifafanua
kuwa
uamuzi huo ni wa
busara na kitendo
cha
wengine
kufanya usafi na
wengine
kuendelea
na
majukumu
mengine
maofisini,
siku ya leo inadhihirisha
umakini na utekelezaji wa
kauli mbiu ya HAPA KAZI TU.
Kwa mujibu wa Kamishna Mkuu wa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw.
Alphayo Kidata ambaye pia amewahi
kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi
alisema suala la usafi ni muhimu na sio
la kulazimishwa bali ni lazima kwa kila
Mtanzania katika kuzingatia usafi ili
kuondokana na magonjwa hasa ya mlipuko
yanayosababishwa na hali ya uchafu.
Diwani wa Kawe Mheshimiwa Muta Robert
Rwakatare alimpongeza Mhe. Rais kwa
kufikiria na kutoa uamuzi wa kuwataka
Watanzania kufanya usafi. Alieleza
kwamba tatizo la uchafu limekithiri sana
na kuahidi kushirikiana na Serikali kupitia
Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni
kutafuta njia za kutatua changamoto.
Aliitaja changamoto kubwa iliyopo
ni katika kutekeleza kazi ya kufanya
mazingira
kuwa
safi
ikiwemo
upatikanaji wa magari ya kubebea taka.
Kwa upande wake mkazi wa kata
ya Kawe Bw. Hussein Bana alisema
wamelipokea suala la kufanya usafi katika
maeneo yao sio kila ifikapo Desemba
13
mazingira
ili
kupambana na magonjwa yanayosababishwa
na uchafu kama vile kipindupindu.
Katika kulilipa nguvu swala kuimarisha
mazingira kwa kuzingatia usafi katika maeneo
mbalimbali,Halmashauri za Majiji ,Wilaya na
Miji Tanzania Bara na Visiwani zilianzisha
faini kupitia sheria ndogo ndogo zilizopo
ili kupambana na uchafuzi wa mazingira
unaofanywa kwa makusudi na baadhi ya watu,
na kwa kuanza Halmashauri ya Manispaa ya
wilaya ya Ilala ilitangaza rasmi kwa yoyote
atakayekamatwa anatupa taka sehemu
isiyostahili atatozwa faini ya shilingi elfu 50
taslimu na kutangaza kutoa nusu ya fedha
ya faini kama zawadi kwa kuwahamasisha
wananchi kutoa taarifa au kufanikisha
kukamatwa kwa mtu atakayevunja Sheria hiyo.
Kamapeni za usafi zilifanyika katika
Mikoa,Wilaya ,Miji na Vijiji nchi kote kwa
wananchi kushirika katika kufanya usafi na
kufanya usafi kuwa ni utamaduni wao na
sio mpaka litolewe tamko juu ya kusafisha
mazingira yanayowazunguka, katika kampeni
2016
Inaendelea Uk. 14
Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akishiriki zoezi la kufanya usafi siku
ya kuadhimisha miaka 54 yaUhuru.
14
2016
2016
Na Eleuteri Mangi
15
Inaendelea Uk. 27
2016
16
Inaendelea Uk.17
Inatoka Uk. 16
kiasi cha shilingi milioni moja kutoka
katika mishahara yao ya mwezi Februari.
Huku yeye mwenyewe Mhe. Rais, Makamu
wa Rais na Waziri Mkuu wakichangia shilingi
milioni sita kila mmoja ambayo jumla
inaleta shilingi milioni100 zilizopangwa
kujenga shule mpya jijini Dar es Salaam
kwa ajili ya wanafunzi waliongezeka.
Mhe. Rais pia aliwataka Wakuu wa Mikoa,
Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri
kuhakikisha tatizo la madarasa na madawati
linatatuliwa kwenye maeneo yao. Mhe. Rais
alisema kuwa upungufu wa madarasa na
madawati ni kipimo cha kuendelea ama
kutoendelea na wadhifa wa kuwa Mkuu wa
Mkoa, Wilaya au Mkurugenzi wa Halmashauri.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Mhe. George Simbachawene alisema agizo
liilotolewa na Mhe. Rais kuwa halina
mjadala na aliwataka wakurugenzi wa
halmashauri kuhakikisha mpaka Juni, 2016
pasiwepo na mwanafunzi anaketi sakafuni
na wakurugenzi watakaoshindwa, watakuwa
wameshindwa kazi na watawajibishwa.
Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka
Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao ni
wasimamizi wa rasilimali zilizopo katika
maeneo ya misitu, wasisite kutoa vibali
vya uvunaji wa miti ya kutengeneza
madawati kwenye wilaya zao ili wanafunzi
wote nchini wakae kwenye madawati.
Tamko la Rais kuhusu elimu bure limeleta
mwamko kwa wazazi wengi kuandikisha
watoto wao darasa la kwanza, jambo
ambalo linaonyesha wazazi wengi walikuwa
wanashindwa kuandikisha watoto wao kutokana
na gharama ya uandikishaji na michango
mingine iliyokuwa ikichangishwa shuleni.
Bwana Mussa Hassan ni mkazi wa jiji la
Dar es Salaam, ambaye amepokea kwa
mikono miwili suala la elimu bure huku
akimsifia Rais kwa kufuta ada na michango
kwa shule za msingi na Sekondari.
Bwana Mussa alifafanua kuwa wazazi wengi
walikuwa wanashindwa kuandikisha watoto
wao kutokana na gharama ya uandikishaji
na michango ambayo mzazi anachangishwa
kama michango ya madawati na ulinzi.
17
2016
Serikali yawakopesha
wachimbaji wadogo Sh. 2.5bn
Na Jacquiline Mrisho.
Katika jitihada za kuwajengea uwezo wa
kiuchumi wachimbaji wadogo wadogo, Serikali
imetenga jumla ya Shilingi 2.5b/= kwa ajili ya
mikopo ya masharti nafuu na Shilingi 5.74b/=
kama ruzuku kupitia mradi wa Benki ya dunia.
Aidha, Serikali imetenga kiasi cha Shilingi
bilioni 1.80 kwa ajili ya kununua mitambo
miwili ya uchorongaji miamba ambayo
ingepelekwa katika ofisi za madini za kanda
ya Ziwa (Mwanza) na kanda ya Kusini
Magharibi (Mbeya), ili itumike kwenye
utambuzi wa kiasi cha mashapo yaliyopo
katika maeneo ya wachimbaji wadogo.
Hatua ya Serikali ya kuwawezesha wachimbaji
wadogo wadogo na pia kuwapatia nyenzo
au vitendea kazi inatokana na kilio cha
miaka mingi ambapo wamekuwa wakidai
kuwa Serikali haiwajali na hivyo familia
nyingi kuendelea kuwa masikini zaidi.
Aidha, ilionekana kuwa wachimbaji hao
wadogo wadogo hawakuwa na mchango
wowote katika kuinua uchumi wa Taifa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara
ya Nishati na Madini, katika kipindi cha
mwaka 2010 mpaka 2015 Serikali imejitahidi
kuwakwamua wachimbaji wadogo wadogo kwa
kuanzisha mchakato wa kuwawezesha kupata
maeneo ya uchimbaji, elimu ya uchimbaji, vifaa
na upatikanaji wa soko la madini wanayopata.
Katika mwaka wa fedha 2010/2011 Wizara
hiyo ilianza kutoa mafunzo kwa wachimbaji
wadogo wadogo kuhusu usalama, utunzaji
wa mazingira na biashara ya madini. Aidha,
Wizara iliwapeleka wazalishaji watano wa
chumvi nchini India kwenye mafunzo ya
muda mfupi ya teknolojia bora ya uzalishaji
wa chumvi na kugharamia mafunzo ya
ujasiriamali yaliyofanyika Tanga kwa watu 34.
Katika mwaka wa fedha 2013/2014
Wizara pia kupitia Shirika la Madini la
Taifa (STAMICO) ambalo lina jukumu la
kuratibu shughuli za kuendeleza wachimbaji
wadogo wadogo wa madini lilitenga jumla
ya shilingi bilioni 2.3 kwa ajili ya mfuko
wa mikopo ya kuwaendeleza wachimbaji
wadogo. Pia jumla ya shilingi milioni 880.68
zilitengwa kwa ajili ya mfuko wa ruzuku.
Muonekano wa daraja la Nyerere lililopo katika wilaya mpya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
18
2016
Baadhi ya wananchi wakipita katika daraja la Mwalimu Nyerere mara baada ya kuzinduliwa
rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa daraja la Mwalimu Nyerere wakishuhudia tukio hilo katika eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
19
2016
Mwl. Julius K. Nyerere (katikati) akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar huku akishuhudiwa
na Rais Sheikh Abed Amani Karume tarehe 26 Aprili, 1964 Zanzibar.
Mwl. Julius K. Nyerere (aliyekaa kushoto) na Sheikh Abed Amani Karume (aliyekaa kulia) wakisaini
Hati za Makubaliano ya Muungano tarehe 22 Aprili, 1964 Zanzibar.
20
2016
Sheikh Abed Amani Karume (katikati) akiwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano, Mhe. Rashidi Mfaume Kawawa (kulia) pamoja na Kanali Seif Bakari wakiwa
katika moja ya matukio ya Muungano.
21
2016
2016
sambazaji
wa nishati ya umeme
unaofanywa na Wakala wa Nishati
Vijijini (REA) umewezesha wananchi
wengi walioko vijijini kuanzisha miradi
mbalimbali ya kiuchumi na kijamii.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa
REA nchini Dkt. Lutengano Mwakahesya,
nishati bora inachangia ukuaji wa uchumi
wa Taifa jambo ambalo linasaidia kuboresha
hali ya maisha ya Wananchi wengi walio
vijijini. Kwa kutambua umuhimu huo REA
kwa kushirikiana na Wadau mbalimbali
imeweza kuibua miradi mbalimbali ya nishati
vijijini ili Wananchi waweze kufaidika nayo.
Wadau hao ni pamoja na Shirika la Umeme
Nchini (TANESCO), Mamlaka ya Udhibiti wa
Bei za Bidhaa (EWURA), Wizara ya Nishati
na Madini, Asasi zisizo za Kiserikali (AZISE),
Asasi za Kijamii (AZAKI) na Sekta binafsi.
Dkt. Mwakahesya ameainisha miradi ya nishati
za umeme kuwa ni pamoja na ile inazoyumia
nguvu ya upepo, jua, maji na bayogasi.
Dkt. Lutengano ameeleza kwamba, lengo
kubwa la ushirikiano baina ya REA na Wadau
hao ni kuibua miradi mbalimbali ya nishati,
kutoa ruzuku na kuwezesha upatikanaji wa
ushauri wa kitaaluma kwa waendelezaji wenye
sifa katika masuala ya kiufundi, usimamiaji,
22
Inaendelea Uk. 23
2016
Inatoka Uk. 22
kujifungua bila kulazimika kuchukua koroboi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya
Nishati na Madini, hadi mwaka 2014 kiwango
cha uunganishaji umeme katika Makao
Makuu ya Wilaya na vijijini ulifikia asilimia
24 na kufanya wananchi wanaopata huduma
za umeme kufikia asilimia 36 ya Watanzania
waishio
bara ukilinganisha na mwaka
2005 ambapo kiwango cha uunganishaji
umeme kilikuwa chini ya asilimia 10.
kumudu
gharama
za
kuunganishiwa
umeme, upatikanaji wa rasilimali fedha
za kutosha na usalama wa miundombinu
kutokana na uharibifu na vitendo vya
uharibifu vinavyofanywa na wananchi.
23
2016
24
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu
(katikati) akipokea vitanda vya vya wagonjwa pamoja na shuka ambavyo vilitolewa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kama
alivyoahidi siku alipozungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam Februari 13, 2016.
Kwa kutambua umuhimu wa huduma ya
afya kwa wananchi ambao ndio wanaotakiwa
kufanya kazi ili kujiletea maendeleo yao
na ya nchi kwa ujumla, Dkt. Magufuli
akiwa mjini Dodoma aliagiza zichukuliwe
fedha kiasi cha Shilingi Milioni 210 kati ya
Shilingi Milioni 225 zilizokuwa zimetengwa
kufanikisha hafla iliyokuwa imeandaliwa
kwa ajili ya Wabunge wapya zipelekwe
Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya kununulia
vitanda na magodoro ya kulalia wagonjwa.
Dkt. Magufuli alisisitiza kuwa kwa
kufanya hivyo tutakua tumejinyima sisi
wenyewe lakini tutakua tumewanufaisha
Nilipoambiwa
kwamba Shilingi
Milioni 225
zimetengwa kwa ajili
ya sherehe, nikasema
fedha hizo zipelekwe
katika hospitali ya
Taifa Muhimbili
zikasaidie kununua
vitanda
Inaendelea Uk. 25
2016
Inatoka Uk. 24
kwa Watanzania kutokana na kasi ya ufanyaji
kazi kwa mashine hiyo kwani ina uwezo wa
kupima kifua na tumbo kwa muda mfupi.
Mashine ya CT-Scan ambayo imefungwa
ina ubora mkubwa na ni ya pili kwa ukubwa
Afrika Mashariki. Kwa sasa tunategemea
kufanya kazi kwa ufanisi zaidi kutokana
na uwezo uliyonayo na inaweza kufanya
kazi kwa kasi tofauti na mashine iliyokuwa
inatumika hapo awali, alisema Dkt. Flora.
Akielezea zaidi juu ya mashine hizo mpya
25
2016
26
Inaendelea Uk. 27
Inatoka Uk. 26
utakuza utamaduni wa viongozi,
watumishi wa umma na sekta binafsi
kwa ujumla kuwa tayari kufanya kazi
kwa kufuata misingi ya maadili na
kupambana na rushwa kwa hiari yao.
Naye Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Utumishi na Utawala Bora Bi.
Angela Kairuki alisema kwamba
mtumishi
wa
umma
anatakiwa
kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu
na uadilifu bila kutoka nje ya mstari.
Mara baada ya kuapishwa kuwa Mkuu
wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri
alisema atasimamia ipasavyo maadili
ya utumishi wa umma hususan katika
kutekeleza miradi ya maendeleo
katika mkoa wake huku akiahidi
kuwawajibisha watumishi watakaokiuka
maadili ya utumishi wa umma.
Tangu achaguliwe kuwa Rais wa
Serikali ya Awamu ya Tano, Dkt. John
Pombe Magufuli amewachukulia hatua
baadhi ya viongozi wa umma kwa
kushindwa kusimamia utekelezaji wa
majukumu waliyopewa. Viongozi hao
ni pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara
ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka,
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari,
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mapato,
Mkurugenzi wa Vitambulisho vya
Taifa na Mkurugenzi wa Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa.
27
2016
Na Lilian Lundo
Inaendelea Uk.28
Inatoka Uk. 27
Kampuni imekuwa ikitoa elimu juu ya
faida zitokanazo na nishati ya Jotoardhi
na namna ambavyo nishati hiyo itatoa
fursa kwa wananchi waliopo katika
maeneo ambayo nishati ya jotoardhi
inapatikana pamoja na kuwafanya
wananchi wa maeneo husika kujiona
kuwa na wao ni wamiliki wa miradi
hiyo na sio Serikali peke yake.
Katika mikutano ya uelimishaji juu ya
nishati ya jotoardhi mkoani Morogoro
katika kata ya Kisaki, Mhandisi Kato
Kabaka
aliainisha
fursa
ambazo
wananchi
wa
Kisaki
watazipata.
Alisema wananchi watanufaika na nishati
ya umeme yenye gharama nafuu na yenye
uhakika ukilinganisha na nishati nyingine
ambazo zinategemea maji, mafuta au
gesi ambazo ni ghali na hazina uhakika
kutokana na vyanzo vyake kupungua
au kuisha kabisa baada ya muda fulani.
Nishati
hiyo
pia
inatumika
katika
ufugaji
wa
samaki
kwa
kutumia joto
lizalishwalo
na nishati
y
a
jotoardhi,
s a m a k i
wanakua vizuri
na kuzaliana kwa
wingi katika joto
lisilopungua nyuzi
joto30. Hivyo kwa
kutumia nishati hiyo mfugaji anaweza
kurekebisha joto ndani ya mabwawa kufikia
nyuzi joto 30 kwa kutumia mabomba
ambayo yatakuwa yanapitisha maji moto
ambayo yanakuwa ndani ya mabwawa.
Hivyo basi, uzalishaji wa samaki
unavyokuwa
mkubwa
ndivyo
mwananchi anavyopata fursa ya
kuongeza kipato chake kwa kuuza samaki
ndani na nje ya mkoa na kuongeza kipato
chake pamoja na kuingizia Serikali
fedha kupitia ushuru ambao atakuwa
akilipa katika uuzaji wa samaki hao.
28
230-250C.
Prof. Muhongo amesema Tanzania
haijazalisha hata megawati moja ya nishati
ya jotoardhi wakati Kenya na Ethiopia
wamepiga hatua kubwa katika matumizi
na fursa zitokanazo na nishati hiyo.
Hadi kufikia mwezi Mei mwaka 2014,
Tanzania ilikuwa inategemea uzalishaji
wa umeme kutumia maji kwa asilimia 35,
gesi asilimia 34 na mafuta mzito asilimia
31. TGDC imejipanga kuzalisha megawati
200 (Mwt) za umeme ifikapo mwaka
2020, megawati 500 ifikapo mwaka 2025
na megawati 800 ifikapo mwaka 2033.
Nishati ya Jotoardhi ni nishati ya
uhakika,
inapowashwa
kuzima
kwake kutategemea na urekebishaji
wa mitambo na si kwa sababu ya
kupungua nguvu kwa nishati hiyo.
Mitambo ya kwanza ya Jotoardhi Duniani
ilijengwa katika mji wa Larderello uliopo
Italy mnamo mwaka1911. Mpaka leo
mitambo hiyo
inaendelea
ku z a l i s h a
nishati ya
kilichozalishwa
2016
umeme
k
w
a
kiwango
k i l e k i l e
mwaka
1911.
Inaendelea Uk. 29
2016
Inatoka Uk. 28
29
Inaendelea Uk. 33
Hivyo
basi
Serikali
ni
lazima
ihakikishe
kwamba
miundombinu
ya
barabara
inaimarika.
Kabla hajawa Rais wa Serikali ya Awamu
ya Tano ya Jamhuri ya Mungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli amewahi kuwa Waziri mwenye
dhamana ya masuala yanayohusu Ujenzi,
Mawasiliano na Uchukuzi. Katika kipindi
hicho alisimamia kwa karibu ujenzi wa
Inaendelea Uk. 30
Inatoka Uk. 29
Alifafanua kwamba, miongoni mwa ahadi
alizowaahidi Watanzania ni kuendeleza
ujenzi wa barabara mbalimbali za
kuunganisha miji mikuu ya mikoa na
wilaya; barabara ziendazo kwenye maeneo
muhimu ya kimkakati na kiuchumi;
na upanuaji wa barabara za miji kama
Dar es Salaam kwa kujenga (flyovers),
barabara za pete (ring roads), n.k. Hivyo,
uboreshaji wa barabara na njia nyingine za
uchukuzi na usafirishaji kuingia na kutoka
Dar es Salaam ni muhimu kwa sababu
bandari ya Dar es salaam ni lango kuu
la biashara kwa Tanzania na nchi jirani.
Novemba 30 mwaka jana, Rais Dkt.
John Pombe Magufuli aliagiza kwamba
fedha ambazo zilitengwa kwa ajili ya
sherehe za maadhimisho ya siku ya
Uhuru zinayofanyika ifikapo Desemba
9, kila mwaka, zisitumike kwa shughuli
hiyo. Badala yake alizielekeza fedha hizo
zitumike kwenye ujenzi/upanuzi wa
barabara ya kutoka Moroco hadi Mwenge
jijini Dar es salaam yenye urefu wa kilometa
4.3. Barabara hiyo sasa itakuwa na njia nne
na itaunganisha na ile inayoanzia Mwenge
hadi Tegeta yenye urefu wa Km 12 ambayo
ujenzi wake ulikamilika mwaka 2014.
Uamuzi wa Mhe. Rais ulilenga katika
kuhakikisha kwamba barabara hiyo
2016
Daraja la Umoja(Mtambaswala)
linalounganisha nchi ya
Tanzania na Msumbiji.
Daraja la Umoja(Mtambaswala)
linalounganisha nchi ya
Tanzania na Msumbiji.
30
Inaendelea Uk. 31
2016
Inatoka Uk. 30
Moja ya baadhi ya barabara za Tanzania kama inavyoonekana ikiwa imewekwa lami, jambo ambalo linarahisisha
usafiri kwa wananchi kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Sekta ya usafiri na uchukuzi kwa njia
ya barabara imeendelea kuimarika na
kutoa mchango wake katika kutekeleza
shughuli za kiuchumi, kijamii na
kimaendeleo. Hii inatokana na ukweli
kwamba sekta hii imeendelea kuhudumia
zaidi ya asilimia 90 ya mizigo yote
inayosafirishwa nchini ikiwa ni pamoja
na ile inayopitia katika bandari zetu.
Mwakyembe ambaye sasa ni Waziri
wa Sheria na Katiba alieleza kuwa
huduma za usafirishaji kwa njia ya
barabara
zimeendelea
kuimarika
ambapo katika kipindi cha Julai, 2013
hadi Machi, 2014 jumla ya leseni za
malori 47,571 zilitolewa ikilinganishwa
na leseni 44,143 zilizotolewa katika
kipindi kama hicho mwaka 2012/2013.
Aidha, leseni za mabasi 32,387 zilitolewa
katika kipindi hiki ikilinganishwa
na leseni 25,196 zilizotolewa katika
kipindi kama hicho mwaka 2012/2013.
Hata hivyo katika kipindi cha Julai,
2014 hadi Aprili, 2015, mchango wa
sekta binafsi katika ukuaji wa Sekta ya
Usafiri na Uchukuzi kwa njia ya barabara
umeendelea kuongezeka, SUMATRA
ilitoa leseni za usafirishaji 33,415
kwa magari ya mizigo na leseni za
usafirishaji 22,810 kwa magari ya
abiria ongezeko hili ni asilimia 6.6.
31
Inaendelea Uk. 32
2016
Inatoka Uk. 31
biashara inawalazimu kusafiri kwenda sehemu
mbalimbali.
Muonekana wa barabara inayoelekea katika Daraja jipya la Mwalimu Nyerere ambalo limezinduliwa
19 Aprili, 2016 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
Magari yakipita katika Daraja jipya la Mwalimu Nyerere ambalo limezinduliwa 19 Aprili, 2016 na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Jijini Dar es Salaam.
32
Wataalam kutoka TGDC, GDC pamoja na MEM wakiwa katika majadiliano wakati wa utafiti wa jotoardhi
Mkoani Mbeya.
33
2016
KAMATI YA UHARIRI
Zamaradi Kawawa - Mwenyekiti
Tiganya Vincent - Mjumbe
Jamal Zuber - Mjumbe
Casmir Ndambalilo - Mjumbe
Fabian Rugaimukamu - Mjumbe
Jonas Kamaleki - Mjumbe
John Lukuwi - Mjumbe
MSANIFU JARIDA
Benedict John Liwenga